HueyFreeman @padrinocaesar
Polymath 🇹🇿🇰🇪 Tierra Joined May 2013-
Tweets5K
-
Followers1K
-
Following1K
-
Likes21K
BAJETI 2026/2027. Hapa jambo kubwa ni je mikopo yetu ni HIMILIVU? Hapana imezidi. Kwani kwa takwimu hizi Mapato ya serikali ni Shs T36.99 kodi+T9.24 mengineyo =T36.23. Madeni ni T7.84 yaliyoiva+T6.86 riba=T14.70. Madeni kama asilimia ya mapato halisi ya serikali : T14.70/T36.23 = 40.57%. Deni himilivu halitakiwi kuwa zaidi ya asilimia 18% ya mapato ya serikali. Kwa hiyo tumevuka mpaka (kima cha juu) hata kama WAKOPESHAJI watatwambia vinginevyo. Bila misaada zaidi TWAFA🏃🏻♂️🏃🏻♂️🏃🏻♂️Kodi zikizidi uwezo wa wananchi kulipa zinakwepwa au kufirisi walipaji. Inakuwa vicious circle.
Tundu Lissu’s Freedom Cannot Wait: Urgent Action Needed Ahead of the 11 June 2026 Court Hearing #FreeTunduLissu —Admin.
Somali referee Omar Artan, who was set to be the first from his country to officiate at the World Cup finals, has been denied entry to the United States.
⚡️BREAKING: The US has banned the Iranian National Football team from staying on its territory before or after a World Cup match The Iranian team will stay and train in Mexico; it will only be allowed to enter the US on match days and must leave after the game Iran is the only country subjected to such treatment by the United States
Fall seven times, stand up eight.” (Japanese proverb) Come back home, darling. It’s time to rise again.
KARIBU KWENYE MAPAMBANO, YOUNG LISSU 💪🏽🇹🇿Mashangazi, wajomba, na Watanganyika wengi tupo nyuma yako. 🙏🏽 Now that Augustino Lissu has given his blessing to share that he joined us in Washington, DC, I can honestly say that one of the most moving moments of my recent advocacy trip was having him alongside my own son. Both are university students studying political science, being there with us. Augustino is the son of Tundu Lissu. His father remains in prison in Tanzania after dedicating much of his life to advocating for democracy, justice, the rule of law, free and fair elections, and reforms. This is the same man who survived an assassination attempt in which 16 bullets were removed from his body. One bullet reportedly remains because of its proximity to his spine. 😢 Augustino shared his personal experience with Senate and Congressional offices, speaking not as a politician, but as a son who has grown up in the shadow of violence against his father and the long absences caused by political persecution, exile, and imprisonment. Sadly, family separation is a reality that many Tanzanian families have experienced. He spoke about missing the simple moments many young people take for granted -a father being present, offering guidance, sharing ordinary childhood experiences. One statement stayed with me: “I never really got to play catch with my father because his arm could not fully stretch anymore. All I know is that throughout my father’s adult life, he has fought for what he believed was right, and he has been punished for it.” To sit in that room and listen to his testimony was deeply emotional. No lens or sunglasses could hide my tears. And with my own son sitting beside me, the weight of that moment became even more personal. It is painful that Tundu Lissu, after surviving violence and dedicating his life to public service and advocacy, remains in custody amid ongoing concerns about his health and access to appropriate medical care & missing health checkups. Whether one agrees with him politically or not, every human being deserves due process, dignity, and justice. How can this be normalized? How can this continue without accountability? What exactly is his wrongdoing other than advocating for the principles he believes in? We continue to call for the release of Tundu Lissu and for justice for all those who remain detained, disappeared, persecuted, or targeted for speaking their truth. Release Tundu Lissu. Deliver justice. 🇹🇿🙏🏽 #FREETUNDULISSU #FREETUNDULISSU @tedcruz @SenatorShaheen @RepJoeWilson @StateDept @SenateForeign @SFRCdems @USCIRF @RepJoeWilson @SFRCdems @StateDept @SenateForeign @hrw @amnesty @oneafricashow @LarryMadowo @RepPressley @IntlCrimCourt @HouseForeignGOP @HouseForeign @Europarl_EN @EU_Commission @UN @Reuters @BBCWorld @CNN @AJEnglish @AP @nytimesworld @Pontifex @MetropolitanAME @TPHDallas @BishopCEBlake @fellowshipchi @mtzionnashville @impact_dc @afmbcdallas @TheGroveAtlanta @Bethany_BBC @4NBethany
Kafanye MDAHALO na SIMAI na MWIGULU. Title ya MDAHALO iwe , NAMNA YA KU DEAL NA YUDA NDANI YA BUNGE.
AIBU YA MWAKA HUKO RUSIA KWA MWENYE PhD 8 SWALI ALILOULIZWA SAMIA KWA MARAISI WA CCM NI MPAKA au NYERERE TU WANGETOBOA. Samia ameulizwa swali na mwandishi wa Habari wa Russia, tena kwenye mkutano ambao uko chini ya control ya serikali au Putin. Swali limeulizwa: 'Sisi tunafanyaje maendeleo na ushirikiano wakati kuna vikwazo?' Wakati swali linaulizwa, unaona Putin anatabasamu kwa bashasha kubwa, maana hapo ndipo Putin alitaka kujua: 'Hapa tuna rafiki au msanii tu?' Malengo ya lile swali hili ilikuwa ni Samia ongee akiwa kwenye ardhi ya Russia na kupeleka moto mkali kwa Marekani na Ulaya. Haya ni maswali ya kijasusi, si maswali ya moja kwa moja kujibiwa kienyeji kama alivyofanya, akaanza kulia kwamba ana uhusiano na Ulaya hakuna vikwazo. Hahaha, Putin yeye hana la kumtisha na Ulaya au Marekani, alitaka sasa aone Samia akijitoa kwenye network na kuongea kama kiongozi wa Korea Kaskazini na kujipiga kifua kwamba sisi vikwazo siyo kitisho kwetu, tuko huru, bla bla, tunasimama wenyewe, hatutaki kuingiliwa. Hayo ndiyo majibu Putin alikuwa anasikiliza, sababu kwa mazungumzo ya chumbani, Samia najiona mwamba kwamba yeye atishiki. Sasa walimtia pale kwenye ubao aongee tena hayo anayosema. Akashindwa, na mbaya zaidi, akabadilisha na lugha kabisa kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili. Kwa wenye akili kama ya Putin, washajua kwamba hapo hakuna mtu ni msanii tu anasaka pesa, Putin sio boya alisha mseti aseme mbele ya Dunia. Swali lenyewe liliunganishwa kwenye angle ya Ukraine, kama angekuwa na akili kidogo kusoma chumba, angesoma kwamba hapo ni wakati wa kuchagua mchumba mmoja, Rusia au Magharibi, akaamua kutembelea vyombo vyote. Kitu ambacho hakimsaidi ni kwamba kuwa na Putin tu pale ni kimeo. Putin kweli, malengo yake yametimia, wewe mwenye PhD 10 umeshindwa kuelewa walioulizwa nini. Anaruka akisema mimi sina vikwazo. Mwandishi wa Habari wa Urusi ametumwa na serikali ya Urusi, wanajua vikwazo vyanavyo, sasa unaambiwa na Urusi una vikwazo, wewe unamkatalia KGB? Wao wanafanyia kazi mambo ya mbele, wamesha confirm kwamba unapigwa vikwazo kila kona, unakana? Kwa kifupi, Rusia walikua wanamwambia Samia: kwamba wewe una vikwazo tayari je tunasonga vipi mbele na wewe? Kama uwezi kukoma kwenye mazingira ya vikwazo hatuna cha kufanya na wewe, na Samia ameshindwa kuonyesha mkakati alionao ili kufanya ushirikiano akiwa na vikwazo. Kwa Dunia ya sasa hakuna Kiongozi yeyote anayekwenda Rusia kwa sasa ambayo bado anapambana kuwa na mahusiano na Ulaya na Marekani, unapo chagua ushirika na Rusia unaachana na ushirikiano na Mataifa hayo mengine, haiwezekane ukalamba kotekote sababu hali ya sasa Dunia inakataa kutokana na Rusia kuwa kwenye mgogoro wa Kijeshi na hayo mataifa mengine. Hivi inawezekana vipi Ulaya wakaachana mpaka na nishati ya Gas ya kutoka Rusia wananchi wao wakateseka, halafu Tanzania ikaenda Rusia kufanya biashara na Mrusi kisha Tanzania hiyo hiyo ikaenda Ulaya na Marekani kufaidia na misaada na biashara pia ? Huu ujinga mbona ni wa kiwango cha lami? Matarajio ya kila mtu ilikuwa ni hii safari ya maCCM huko Rusia ni kufunga ndoa na Rusia na kuachana na Magharibi yenye masharti mengi ya haki za binadamu na demokrasia kwamba hii ndio ilikuwa point ya safari . Kwa hiyo Suala la vikwazo lilikuwa si la kukana; lilikuwa la kuelezea yeye, Samia, anapitisha vipi serikali ya CCM kwenye hivyo vikwazo au anakomaa vipi kwenye ushirikiano wake na Russia wakati huo akiwa na vikwazo hapo Putin angepima kama amepata mdau. Akili zimeganda, mnakomalia madaraka. Unakubali kwenda kuongea mbele ya media za nchi zinazosoma usichosema. Rusia ni majasusi wanajua vizuri Tayari ni suala la muda tu kina umma vikwazo vinakuja, sasa unawabishia Rusia wanajua nini kilitokea Tanzania, Lakini wanajua mambo ambayo Samia amezungumza baada ya kufanya mauaji ( nimeweka video moja hapo chini) , Nchi kama Rusia unapokwenda wanakuchungulia kwa darubini , KGB wanafanyakazi yao vizuri kujua mgeni ni wa aina
Maandamano ya 7/7 yalioandaliwa na GEN Z binafsi nayaunga mkono asilimia mia mbili. Kiuhalisia naona 7/7 yenyewe inachelewa kufika. Watu hawajazika wapendwa wao mpaka leo ni miezi 7 wanaomboleza hakuna MAJIBU KUTOKA Kwa wakoloni weusi. Watanzania bado wanaendelea KUTEKWA NA KUPOTEZWA kila siku—wengine wakiwapata wapendwa zao wanawakuta hawana VICHWA wanazika kiwiliwili na hakuna majibu kutoka kwa WAKOLONI WEUSI. TUNDU LISSU bado yupo jela na hakuna KESI dhidi yake zaidi ya siku 400 sasa, na wakoloni weusi wapo KIMYA tuu ni kama wanaona wanatumudu. Haya maumivu tunayopitia watanzania lazima wajue tunaumia na sauti yetu lazima waisikie.
Dear Augustino Lissu, stay stronger and thank you for showing up to demand your father’s liberty. SC Tundu Lissu is extremely proud of you. Stay vigilant & unbowed, son. Wear that AURA and walk his talk, young🐐!
@EmbassyofRussia This Woman is a murderer, She seized power after shooting and killing over ten thousand Tanzanians.
Dear World never forget that Samia Suluhu and her murderous cabal targeted and killed young men including talented footballers in their homes! Hawa wauaji wanaosema wanakuza vipaji vya U17 ni wanafiki - waliwaua majumbani mwao vijana wenye kipaji cha mpira Ushetani huu mtaulipa #SamiaMustGo
This 👇🏾 is Samia’s son Abdul Ameir Hafidh accused of crimes against humanity. shoved in the midst of the official delegation of Tanzania to Russia His only claim to fame is being the President’s son yet here is front row! Tanzania is officially a republic - but this family has zero understanding of this and behave like some royalty! How pathetic! #SamiaMustGo
Mh @HecheJohn pole sana. Mlibebwa EPL is UCL hamkubebeka
Abdul, Pengine mengi yanayosemwa mitandaoni na mitaani dhidi yako si ya kweli. Lakini ikiwa hata asilimia ndogo tu ya yanayosemwa yana ukweli ndani yake, nakusihi uyatafakari kwa makini na kuchukua hatua mapema. Historia inatufundisha kuwa wale wanaoshangilia na kupiga makofi juu yetu leo wanaweza kuwa mashahidi wa kwanza kesho mambo yanapobadilika. Nguvu, umaarufu na ushawishi ni vitu vya muda, havidumu milele. Kumbuka pia kwamba nafasi na mamlaka ya wazazi wetu si ya milele, na wewe bado una safari ndefu sana mbele yako kama kijana. Hekima kubwa ni kujenga heshima, uadilifu na jina jema mapema kabla ya mazingira kubadilika. Mungu huchelewa wakati mwingine, lakini haki yake haipotei. Ikiwa kuna jambo lolote lisilo sahihi, kurekebisha njia mapema ni busara kuliko kusubiri wakati ambao marekebisho yatakuwa magumu zaidi. Huu ni ukumbusho wa KIMUNGU, kwa nia njema. Sijui hata kwa nini nimeandika. Lakini kesho huwa inafika.
Huyu dada ana akili kuliko maCCM yote , wanajifanya wendawazimu wakati mambo yani wazi sana
The whitewash of Samia Suluhu online campaign and attack on activists and human rights defenders is heavily funded by Tanzanian Taxpayers through the illegitimate govt of Samia Suluhu - I am reliably informed that agency in Kenya running the campaign is Oxygène Ke They have the right to deny or confirm as we are preparing legal action! We will not stay quiet or cower in the face of malicious lies Everyone who takes part will be added to every legal process nationally, regionally and internationally aa accessory to #TanzaniaMassacre and will pay the price! This is not a threat but a promise! You have been informed
Kombo anadai polisi ukimuonesha jiwe anatakiwa akupige risasi ufe. Kwamba ndicho walichofanya Okt 29; wakitekeleza Katiba. Kwamba wame heal baada ya mauwaji ya Okt 29! Hivi hawa watu wanajua shimo walilojichimbia? Mmeuwa alafu mme heal? Uwajibikaji je? Kaeni rada!
Dear @Europarl_EN A few months ago, Tanzania's Minister of Foreign Affairs, Mahmoud Thabit Kombo, and his delegation visited Brussels to engage with the European Parliament. During this visit, they implored you not to impose sanctions and restrictions, despite the fact that by October 29, the regime had gunned down over ten thousand Tanganyikans, many of whom were denied the right to live, reflecting a troubling disregard for human rights. However, in Parliament yesterday, Minister Kombo stood up and boasted and mocked you. He claims that when they came to speak with you, the European Union imposed "free free" conditions on them, referring to the demands you made, including the release of Hon. Tundu Lissu. Kombo has since proudly claimed that he rejected those demands, asserting that no foreign institution has the right to dictate how our country should be governed. After ridiculing you in their illegitimate Parliament, they are scheduled to return to Brussels to request grants. This behaviour suggests a concerning pattern that deserves your attention. I hope you have noted the discussions surrounding his mission in Europe. It is important to recognise that the CCM and the current regime are seeking endorsement in the form of grants and financial support. They may use such funds for political propaganda, undermining the importance of accountability. Please do not fall into the trap of becoming complicit in this situation. Cc. @EU_Commission @davidmcallister @BarryAndrewsMEP @gahler_michael @RobertBiedron @UdoBullmann @ErikMarquardt @European
Empire of the Kop @empireofthekop
1.9M Followers 824K Following Official X account of E.O.T.K. | For Liverpool fans, by Liverpool fans | Best Premier League Club Content Creator 2023 @The_FCAs 🌟 [email protected]
Mark Lumsden @lfclumo
17K Followers 16K Following Huge Liverpool fan and football fanatic, will be tweeting biased opinions. ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
Paul Foreman @redsmicer
12K Followers 12K Following @LFC supporter, strongbow poker an a bit of 80s music, 4399 place on the season ticket waiting list. #JFT97 A weekend in paradise, my friend
Sean O' Donovan @henriksen1
4K Followers 4K Following Hi, I'm Sean and I'm from Limerick in Ireland, I'm a huge Liverpool fan #ynwa, and tweet a lot about tv shows like Lost, #TWD, Pointless (Quizshow) and others.
Emma Dream 💭 @sacattack662266
44 Followers 1K Following flower child with anxious heart 🌺 follow back
cammy 2am @wjburning
20 Followers 2K Following sparkles and spiral thoughts ✨ mutuals only, i follow back
Cole Harrison @Baset515934
207 Followers 570 Following I need someone I can trust and love forever 💕
Mumo Musau @Don_Musau
4K Followers 4K Following || BirdWatcher ||Let it all work out ❤️|| KYAKU NĪ KYAKU
Liza✌️ @Lizarichard2018
188 Followers 251 Following
Janet Obande @EchoJanet68909
567 Followers 1K Following Passionate researcher and penwoman. I love everything about books and learning. I am exploring how language shapes identity, power, and daily living.
WE_ZOMBIE💀🍁 @ANKO_KAY25
730 Followers 1K Following # Million Dollar Vision🍁|| #Wisdom🌝 #Justice🪓 #Temperance 👣
fuck @adventuresfeyu
42 Followers 3K Following
masanja mathias @masanjamathias3
854 Followers 3K Following Fisheries science and technology future OFFICER
Khoisan @iamkhoisani
7K Followers 3K Following Optimistic|| Posting On How To Live A Life Of Flourishing.
Meishy @dahxeh
47K Followers 45K Following Environmentalist, non-religious, non-conventional & introverted nomad. Don't come at me; la vida loca!💃🏾
FAITH FULL MAN @RIDERALPHA5
281 Followers 1K Following I am man of action when I passionate about something I may spend my life time chasing on that thing
Langa @Arap1mzee
2K Followers 5K Following A Believer, Naturalist, Farmer and a Telecommunications enthusiast... always minding my own business 🥂
makey @Makey187
45 Followers 273 Following
jr @martin159022790
206 Followers 2K Following
George Bahemu @georgebahemu
3K Followers 8K Following
Kabaka_unr. @slink_kelvin
1K Followers 3K Following Certified VA | ¤Ijipe¤ | Fun,◇Sarcasm◇| Manchester Utd 🔴 | ♤GOD = GOD = GOD♤ | PORTUGAL 🇵🇹 | Maraga 6th‼️
bawling magma @bawlingmagma
3K Followers 4K Following Turn on post notifications 🔔 | Give back a Follow 🖤 | Barcelona 🇲🇳 Fan | Best Meme Contents 😄
drelly @iroju01
225 Followers 653 Following active grinder 💪, Ai expert, editing merchant, working boys cheat code, anime lover❤️
Festus Kiprotich @ceokulgroup
1K Followers 3K Following Msc International Business Management. Arsenal Fan. Entrepreneur. Father
kaloki 🇰🇪🦁 @theee_goon
592 Followers 620 Following kox Malaya association Dm for assistance in dissertation and assignments Story mingi wacha, follow ifb immediately.
Barrack Gumba @_gumba1
11K Followers 6K Following Health & Politics | Just for fun | bangers only | Inspired by Stanley Kiriungi
it's_Ka_Mjoro @NJOROGE0001
2K Followers 3K Following Cctv, Biometrics solution, Smart door locks ,Gate automation ,Electric fencing ,Razor installation and much more .
ndessy bikore @NdessyB25596
141 Followers 724 Following
Mad max @alias_maxx
1K Followers 1K Following laid back chap with a sense of humor,would laugh at his own funereal coz am fun en real
Levin Saitawang🇰�... @LSaitawang24937
1K Followers 1K Following A coin flipped is always sacred. Next MP.
James 🇰🇪 @frimmbits
162 Followers 172 Following “Truth exists. Lies are invented.” - Georges Lemaître
AaronJr @yudas_cnn
606 Followers 7K Following
Evans @Evans1968553738
83 Followers 64 Following
Tammy bellax @gezabellax
247 Followers 2K Following Earwigs are so called from the supposition that they creep into the human ear
Messi Magix @Messimagic18731
141 Followers 423 Following Barca for life❤️💙 Messi 🐐🇦🇷 Atheist⚛️ Humanity comes first.
Mjukuu ya Lebo @ShadrackOt938
7K Followers 6K Following veterinary services to perfection ❤️ Shelby mentality 💪
Yonah Otoyi @YonahOtoyi
2K Followers 4K Following Thoughtful. Kenyan. Unapologetic. Faith keeps me grounded, Arsenal keeps me humble, Speaking truth with grace.
RCM @robkidayo_
2K Followers 889 Following
Ma'am @RachelNyaruai
1K Followers 2K Following
Liverpool FC @LFC
24.2M Followers 329K Following Official X account of Liverpool Football Club. Follow our Academy account: @LFCAcademyX 🔴 Stop The Hate, Report It. #RedTogether ✊ @LFCHelp 💻
Empire of the Kop @empireofthekop
1.9M Followers 824K Following Official X account of E.O.T.K. | For Liverpool fans, by Liverpool fans | Best Premier League Club Content Creator 2023 @The_FCAs 🌟 [email protected]
Jamie Carragher @Carra23
2.2M Followers 1K Following 7️⃣3️⃣7️⃣ games for @LFC with a few 🏆 along the way. Now talking ⚽️ for @SkySportsPL @CBSSportsGolazo @WeAreTheOverlap
The Redmen TV @TheRedmenTV
717K Followers 3K Following 🏆 Award winning Independent Liverpool FC Media 📲 Download our app: https://t.co/VwR9FeMafa 📧 [email protected]
Anything Liverpool @AnythingLFC_
383K Followers 28K Following Tweet About All & Anything Liverpool 🔴 | #LFC #LIVERPOOL | @solcasino
Darwin Núñez @Darwinn99
912K Followers 159 Following @Uruguay y @alhilal_fc. De Artigas. 𝗥𝗘𝗦𝗜𝗟𝗜𝗘𝗡𝗖𝗜𝗔 ❤️
This Is Anfield @thisisanfield
1.0M Followers 5K Following Independent Liverpool FC Website, Online Since 2001 Get our free app: https://t.co/wQidgjqE2e
Luis Fernando Díaz @LuisFDiaz19
750K Followers 56 Following Jugador de @FCBayern y @FCFSeleccionCol 🇨🇴 - Management: @passionsportm
Spirit of Shankly @spiritofshankly
173K Followers 19K Following Liverpool FC Supporters’ Union. Recognised Supporters’ Trust. For ticketing issues please first contact the club: https://t.co/UFwnXMk2pp
Dirk Kuyt @Kuyt
1.3M Followers 287 Following Official account of Dirk Kuyt, former football player for @FCUtrecht, @Feyenoord, @LFC, @Fenerbahce and the Dutch national team
James Pearce @JamesPearceLFC
1.1M Followers 1K Following Liverpool FC reporter for @TheAthleticFC https://t.co/WH349ck8uN https://t.co/q7K1Hexwuf Instagram: jamespearcelfc
Liverpool FC Women @LiverpoolFCW
261K Followers 442 Following Official X account of Liverpool FC Women 🔴 @LFCWHelp 💻
Henry Winter @henrywinter
1.2M Followers 4K Following Football journalist.🎙️The Football Boardroom. 📻 Sunday Edition talkSPORT. ✍️ World Soccer. 📕Obsession. Enquiries [email protected]
James Milner @JamesMilner
1.8M Followers 89 Following @OfficialBHAFC | @JM7foundation | @NikeUK athlete | Instagram: @jamesmilnerofficial
indykaila News @indykaila
718K Followers 1K Following Award winning account ⚽️📰. Team of 5 elite reporters. Contact @indykbusiness or [email protected]. Sponsored by @Rainbetcom 18+ https://t.co/UvrNCdPLz3
Daniel Sturridge @DanielSturridge
2.1M Followers 515 Following https://t.co/vn5gQHxq0E Insta: @danielsturridge https://t.co/djLcuERBFr Dudley Road Records
Robbie Fowler @Robbie9Fowler
1.0M Followers 1K Following
Tony Evans @TonyEvans92a
107K Followers 1K Following Writer. Radical. Scouse Separatist. Contact: [email protected] New novel Good Guys Lost. Order https://t.co/D5U3tbOEJZ
Mark Lumsden @lfclumo
17K Followers 16K Following Huge Liverpool fan and football fanatic, will be tweeting biased opinions. ⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️⭐️
Ryan McLaughlin @RyanMcL2
72K Followers 968 Following | Professional Footballer Brooklyn FC | Ex - Northern Ireland int, Liverpool FC, Barnsley, Aberdeen, Oldham athletic, Blackpool, Rochdale, Morecambe & St Pats |
Janet Obande @EchoJanet68909
567 Followers 1K Following Passionate researcher and penwoman. I love everything about books and learning. I am exploring how language shapes identity, power, and daily living.
Tommy Pigott @statedeptspox
179K Followers 376 Following The official account of @StateDept’s Spokesperson serving under the leadership of the 72nd Secretary of State @SecRubio and @POTUS Trump.
Liza✌️ @Lizarichard2018
188 Followers 251 Following
Peter Msigwa @MsigwaPeter
24K Followers 258 Following Pastor | Former Member of parliament-iringa constituency 2010 -2020 | Former Shadow Minster for Natural Resource and Tourism 🇹🇿
WE_ZOMBIE💀🍁 @ANKO_KAY25
730 Followers 1K Following # Million Dollar Vision🍁|| #Wisdom🌝 #Justice🪓 #Temperance 👣
MO 29 TV @MO29TV
4K Followers 3 Following TV YA WANANCHI, KWAAJILI YA KUMBUKIZI YA MAUAJI YA RAIA 29.10.2025.
Khoisan @iamkhoisani
7K Followers 3K Following Optimistic|| Posting On How To Live A Life Of Flourishing.
Meishy @dahxeh
47K Followers 45K Following Environmentalist, non-religious, non-conventional & introverted nomad. Don't come at me; la vida loca!💃🏾
Taifa kwanzatz @mchina_jr94958
855 Followers 52 Following TANZANIA KWANZA 🇹🇿 | HABARI Sisi Wananchi Ndiyo Taifa 📍 Updates za Siasa, Jamii na Taifa 📲 DM for tips Tanzania ni Yetu Sote.
Langa @Arap1mzee
2K Followers 5K Following A Believer, Naturalist, Farmer and a Telecommunications enthusiast... always minding my own business 🥂
Kamishna issa @IssaKamishna
2 Followers 26 Following
FAITH FULL MAN @RIDERALPHA5
281 Followers 1K Following I am man of action when I passionate about something I may spend my life time chasing on that thing
makey @Makey187
45 Followers 273 Following
jr @martin159022790
206 Followers 2K Following
Giggs Ball @GiggsBall
989 Followers 897 Following 🔴 Manchester United heritage lives here. Banter, breaking news & pure football chaos. #MUFC.
Pubungu E Odera @HEPubungu1
8K Followers 4K Following Adventist Blogs || Entrepreneur 💸 || Justice ⚖️ || Politics || Optimistic || MCA Aspirant Lucky Summer || Green Army Soldier ||
$100M @Damzy100M
75K Followers 63 Following Sport Analyst II Tipster 🏀 ⚽️ II GGMU @ManUtd ❤️ II Always Bet Responsibly ✍️☘️💚 II DM for Ads & Pr. II Turn On Posts Notification 🔊🔔
Hussein Issa @husseinissa795
45 Followers 174 Following
Alex Barnicoat @AlexBarnicoat_
313K Followers 62 Following An Independent Journalist, running in the next election to save our United Kingdom.
George Bahemu @georgebahemu
3K Followers 8K Following
Prof Makau Mutua @makaumutua
1.5M Followers 2K Following SUNY Distinguished Professor; Margaret W Wong Prof; Former Dean @UBSchoolofLaw; Senior Advisor on Constitutional Affairs to President of Kenya; NMG columnist.
ChiefHerbalist @HerbalistChief
426K Followers 937 Following Certified and Licensed Herbalist. Email: [email protected] ; Call/WhatsApp on +2347061356325 or +233201009244 Website: https://t.co/mhko2dFvbZ
Andrew Tate @Cobratate
10.9M Followers 1K Following Unmatched perspicacity coupled with sheer indefatigability makes me a feared opponent in any realm of human endeavour. Escape Slavery: https://t.co/b2DF1rm9ij
Kabaka_unr. @slink_kelvin
1K Followers 3K Following Certified VA | ¤Ijipe¤ | Fun,◇Sarcasm◇| Manchester Utd 🔴 | ♤GOD = GOD = GOD♤ | PORTUGAL 🇵🇹 | Maraga 6th‼️
Iran Embassy SA @IraninSA
184K Followers 46 Following 🎒 Embassy of I.R.Iran in South Africa, Office: +27 (12) 001 0555 Email: [email protected]
Elizabeth @Elizabe07347609
6 Followers 119 Following
bawling magma @bawlingmagma
3K Followers 4K Following Turn on post notifications 🔔 | Give back a Follow 🖤 | Barcelona 🇲🇳 Fan | Best Meme Contents 😄
Embassy of Iran in Af... @IRANinKabul
53K Followers 295 Following حساب رسمی سفارت جمهوری اسلامی ایران ـ کابل Tel: +93-20 2101391-7 Email: [email protected] Official account of the Embassy of IRAN in Afghanistan
Kerry 🇰🇪 @kerubo_hillary
56K Followers 11K Following The future belongs to those who believe in the beauty of their dreams.Aspire to explore,learn,interact,above all live & love life😍 Actuarial😫 #YNWA
Owino Sueh @OwinoSueh
34K Followers 1 Following The sun will rise and we will try again tomorrow. Contact, Meal plan, Tip 👇🏿
Mbiti Mwondi Maino,MD @mbiti_mwondi
100K Followers 806 Following MBChB, MMED,MBA, MPH |AI & Digital Health | Healthcare Innovation | Clinical Management | Public Health Advocate |Psychiatry resident. CEO and Founder MindFiti
kaloki 🇰🇪🦁 @theee_goon
592 Followers 620 Following kox Malaya association Dm for assistance in dissertation and assignments Story mingi wacha, follow ifb immediately.
Barrack Gumba @_gumba1
11K Followers 6K Following Health & Politics | Just for fun | bangers only | Inspired by Stanley Kiriungi
Captain Dominic Omond... @CaptainDominicO
96K Followers 9K Following Passionate about Kenyan Politics 🇰🇪
𝖒𝖐™ @mukiri_ndegwa
7K Followers 4K Following Mental health award winner . || . Ruthless Focus . || . 0791958301 . || .YNWA . @LFC





























